Swali: Ikiwa choo kiko upande wa Qiblah cha mwenye kuswali katika vila, ukumbi au ua – Je, swalah inasihi kuelekea huko?
Jibu: Swalah inasihi na hapana neno katika hilo. Kinachokatazwa ni kuswali ndani ya choo chenyewe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/230)
- Imechapishwa: 01/03/2026
Swali: Ikiwa choo kiko upande wa Qiblah cha mwenye kuswali katika vila, ukumbi au ua – Je, swalah inasihi kuelekea huko?
Jibu: Swalah inasihi na hapana neno katika hilo. Kinachokatazwa ni kuswali ndani ya choo chenyewe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/230)
Imechapishwa: 01/03/2026
https://firqatunnajia.com/kuswali-ndani-nyumba-au-maeneo-ambayo-choo-kinaelekea-qiblah/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket