Swali: Nguo za vijana hupatwa na damu baada ya kutoka mawindoni na wanataka kwenda kuswali katika hali hiyo. Ni ipi hukumu ya kuswali ndani ya nguo hizi?
Jibu: Ni lazima kuziosha ikiwa damu ni nyingi. Kwa sababu damu ni najisi na khaswakhaswa ile damu yenye kuchirizika.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Nguo za vijana hupatwa na damu baada ya kutoka mawindoni na wanataka kwenda kuswali katika hali hiyo. Ni ipi hukumu ya kuswali ndani ya nguo hizi?
Jibu: Ni lazima kuziosha ikiwa damu ni nyingi. Kwa sababu damu ni najisi na khaswakhaswa ile damu yenye kuchirizika.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-na-nguo-yenye-damu-nyingi/