Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kwenye nguo ilio na damu chache?
Jibu: Ikiwa anajua basi ni lazima kuiosha japokuwa ni ndogo. Ama akisahau au alikuwa hajui ambapo akaswali, basi swalah yake ni sahihi. Akikumbuka katikati ya swalah aivue akiweza kufanya hivo. Asipoweza na damu hiyo ikawa juu ya kanzu yake aivue. Asipoweza kabisa basi aikate swalah yake na aoshe damu hiyo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 11/01/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kwenye nguo ilio na damu chache?
Jibu: Ikiwa anajua basi ni lazima kuiosha japokuwa ni ndogo. Ama akisahau au alikuwa hajui ambapo akaswali, basi swalah yake ni sahihi. Akikumbuka katikati ya swalah aivue akiweza kufanya hivo. Asipoweza na damu hiyo ikawa juu ya kanzu yake aivue. Asipoweza kabisa basi aikate swalah yake na aoshe damu hiyo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 11/01/2019
https://firqatunnajia.com/kuswali-na-nguo-yenye-damu-kidogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)