Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amepitwa na swalah ya mkusanyiko kwa sababu ya kulala au sababu nyingine? Je, awaombe familia yake waswali pamoja naye ili aweze kupata fadhilah za swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Akiswali pamoja nao ni sawa. Mwanamke hapangi safu pambizoni mwa mwanaume. Bali anatakiwa kuwa nyuma yake. Haijalishi kitu hata kama ni mume wake au baba yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 19/07/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amepitwa na swalah ya mkusanyiko kwa sababu ya kulala au sababu nyingine? Je, awaombe familia yake waswali pamoja naye ili aweze kupata fadhilah za swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Akiswali pamoja nao ni sawa. Mwanamke hapangi safu pambizoni mwa mwanaume. Bali anatakiwa kuwa nyuma yake. Haijalishi kitu hata kama ni mume wake au baba yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 19/07/2019
https://firqatunnajia.com/kuswali-na-familia-baada-ya-kuchelewa-msikitini-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)