Swali: Kuna kijana ambaye ni mgonjwa figo lake limepoza. Anaoshwa mara tatu kwa wiki na vilevile ni mtu dhaifu. Je, ni wajibu kwake kujifanyia mwenyewe hajj, awakilishe mtu mwingine amfanyie au asubiri?
Jibu: Dhahiri ni kwamba mfano wa maradhi kama haya – tunamuomba Allaah atukinge nayo sisi na nyinyi – ni kwamba hayaponi. Kwa hivyo akiwa na mali basi ni wajibu kwake kuwakilisha mtu amfanyie hajj kwa hali alitoa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (53) http://binothaimeen.net/content/1190
- Imechapishwa: 19/07/2019
Swali: Kuna kijana ambaye ni mgonjwa figo lake limepoza. Anaoshwa mara tatu kwa wiki na vilevile ni mtu dhaifu. Je, ni wajibu kwake kujifanyia mwenyewe hajj, awakilishe mtu mwingine amfanyie au asubiri?
Jibu: Dhahiri ni kwamba mfano wa maradhi kama haya – tunamuomba Allaah atukinge nayo sisi na nyinyi – ni kwamba hayaponi. Kwa hivyo akiwa na mali basi ni wajibu kwake kuwakilisha mtu amfanyie hajj kwa hali alitoa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (53) http://binothaimeen.net/content/1190
Imechapishwa: 19/07/2019
https://firqatunnajia.com/hajj-kwa-mwenye-maradhi-ya-figo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)