Swali: Ni sahihi kutumia dalili kwamba ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) damu ilikuwa ikimtoka na hakutawadha?
Jibu: Ndio, hii ni dalili inayotumiwa na wale wanaosema kuwa damu nyingi haitengui wudhuu´, kwa kuwa ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) aliendelea na swalah yake. Vilevile Maswahabah walikuwa wakipatwa na mikuki na wakitokwa na damu wakati wamesimama na kuswali. Pamoja na hivyo wanaendelea kuswali. Hii ni dalili inayotumiwa na wale wanaoonelea kuwa damu haitengui wudhuu´ hata kama ni nyingi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 21/10/2016
Swali: Ni sahihi kutumia dalili kwamba ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) damu ilikuwa ikimtoka na hakutawadha?
Jibu: Ndio, hii ni dalili inayotumiwa na wale wanaosema kuwa damu nyingi haitengui wudhuu´, kwa kuwa ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) aliendelea na swalah yake. Vilevile Maswahabah walikuwa wakipatwa na mikuki na wakitokwa na damu wakati wamesimama na kuswali. Pamoja na hivyo wanaendelea kuswali. Hii ni dalili inayotumiwa na wale wanaoonelea kuwa damu haitengui wudhuu´ hata kama ni nyingi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 21/10/2016
https://firqatunnajia.com/kuswali-na-damu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)