Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali mahala ambapo kuna picha au kumewashwa TV?
Jibu: Haijuzu kuswali mahala ambapo zipo picha ikiwa picha hizo ziko upande wa Qiblah cha mwenye kuswali. Haijuzu kuswali kwa kuzielekea picha, ni mamoja picha zilizotundikwa kwenye ukuta au zimeinuliwa. Kwa sababu kumefanan na ´ibaadah ya washirikina.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 17/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali mahala ambapo kuna picha au kumewashwa TV?
Jibu: Haijuzu kuswali mahala ambapo zipo picha ikiwa picha hizo ziko upande wa Qiblah cha mwenye kuswali. Haijuzu kuswali kwa kuzielekea picha, ni mamoja picha zilizotundikwa kwenye ukuta au zimeinuliwa. Kwa sababu kumefanan na ´ibaadah ya washirikina.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 17/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwa-kuzielekea-picha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)