Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali mahala ambapo kuna picha au kumewashwa TV?

Jibu: Haijuzu kuswali mahala ambapo zipo picha ikiwa picha hizo ziko upande wa Qiblah cha mwenye kuswali. Haijuzu kuswali kwa kuzielekea picha, ni mamoja picha zilizotundikwa kwenye ukuta au zimeinuliwa. Kwa sababu kumefanan na ´ibaadah ya washirikina.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
  • Imechapishwa: 17/10/2020