Swali: Mwenye kuweza kuswali kwa kusimama lakini akaswali kwa kukaa katika swalah ya sunnah. Je, swalah yake ni sahihi?
Jibu: Ni sahihi. Lakini anapata nusu ya thawabu za mwenye kusimama.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 10/08/2018
Swali: Mwenye kuweza kuswali kwa kusimama lakini akaswali kwa kukaa katika swalah ya sunnah. Je, swalah yake ni sahihi?
Jibu: Ni sahihi. Lakini anapata nusu ya thawabu za mwenye kusimama.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (91) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-22-7-1439.mp3
Imechapishwa: 10/08/2018
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwa-kukaa-katika-swalah-ya-sunnah-pamoja-na-uwezo/