Swali: Katika majengo ya kisasa kumeenea kutengeneza choo ndani ya chumba cha kulalia. Je, inajuzu kuswali katika chumba hichi?
Jibu: Ndio. Kizuizi kiko wapi? Maadamu choo kimetengana na ukuta na baina yako wewe na choo kuna ukuta hakuna neno. Swali katika chumba hicho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 15/04/2017
Swali: Katika majengo ya kisasa kumeenea kutengeneza choo ndani ya chumba cha kulalia. Je, inajuzu kuswali katika chumba hichi?
Jibu: Ndio. Kizuizi kiko wapi? Maadamu choo kimetengana na ukuta na baina yako wewe na choo kuna ukuta hakuna neno. Swali katika chumba hicho.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 15/04/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-katika-chumba-kilicho-na-choo-cha-ndani/