Swali: Je, inajuzu kuswali kanisani na kama inavyojulikana kuna mapicha na masanamu?
Jibu: Ikiwa kuna mapicha imechukizwa kuswali ndani yake. Lakini ikiwa hakuna picha, hakuna neno kuswali ndani yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13910
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kuswali kanisani na kama inavyojulikana kuna mapicha na masanamu?
Jibu: Ikiwa kuna mapicha imechukizwa kuswali ndani yake. Lakini ikiwa hakuna picha, hakuna neno kuswali ndani yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (71) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13910
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuswali-kanisani/