Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kwenye nyesi mchi zinazopandwa kwenye mabustani na maeneo ya kupumzikia?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo. Msingi ni kwamba ardhi yote ni safi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ardhi yote kwangu imefanywa kuwa ni safi na yenye kusafisha.”
Muda wa kuwa inamwagiliwa maji safi basi hapana shida yoyote.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 21/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)