Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali juu ya mkeka/msala wenye marembo? Je, ni Bid´ah?
Jibu: Hapana, imechukizwa tu. Kwa sababu unamshawishi mtu na swalah yake. Bora ni yeye kuswali kwenye mkeka/msala wa kawaida usiokuwa na marembo ili usimshawishi yeye na swalah. Vilevile mtu anaweza kuswali juu ya ardhi safi. Ama kuhusu mikeka/misala iliyo na marembo inaweza kumshawishi mwenye kuswali. Kwa hiyo kuiacha ni bora zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18970/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B5%D9%84%D8%A7%D8%A9-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D8%AC%D8%A7%D8%AF%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B2%D8%AE%D8%B1%D9%81%D8%A9
- Imechapishwa: 02/02/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali juu ya mkeka/msala wenye marembo? Je, ni Bid´ah?
Jibu: Hapana, imechukizwa tu. Kwa sababu unamshawishi mtu na swalah yake. Bora ni yeye kuswali kwenye mkeka/msala wa kawaida usiokuwa na marembo ili usimshawishi yeye na swalah. Vilevile mtu anaweza kuswali juu ya ardhi safi. Ama kuhusu mikeka/misala iliyo na marembo inaweza kumshawishi mwenye kuswali. Kwa hiyo kuiacha ni bora zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18970/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B5%D9%84%D8%A7%D8%A9-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D8%AC%D8%A7%D8%AF%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B2%D8%AE%D8%B1%D9%81%D8%A9
Imechapishwa: 02/02/2019
https://firqatunnajia.com/kuswali-juu-ya-mkeka-bidah-2/