Swali: Kusoma as-Sajdah katika swalah za kusoma kimyakimya?
Jibu: Akiisoma asisujudu ili asiwashawishi watu.
Swali: Kuna imamu anasema kuwa aliisoma na ndani yake kuna Sujuud na alipofika maeneo pa Sujuud akanyanyua sauti kidogo kwenye kipaza sauti halafu wakasikia na wakasujudu baada yake
Jibu: Hakuwa anasujudu ndani yake katika swalah za kusoma kimyakimya. Sunnah ni yeye asiisome. Na akiisoma asisujudu ili asiwatie uzito watu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23743/حكم-قراءة-الامام-اية-سجدة-في-صلاة-سرية
- Imechapishwa: 19/04/2024
Swali: Kusoma as-Sajdah katika swalah za kusoma kimyakimya?
Jibu: Akiisoma asisujudu ili asiwashawishi watu.
Swali: Kuna imamu anasema kuwa aliisoma na ndani yake kuna Sujuud na alipofika maeneo pa Sujuud akanyanyua sauti kidogo kwenye kipaza sauti halafu wakasikia na wakasujudu baada yake
Jibu: Hakuwa anasujudu ndani yake katika swalah za kusoma kimyakimya. Sunnah ni yeye asiisome. Na akiisoma asisujudu ili asiwatie uzito watu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23743/حكم-قراءة-الامام-اية-سجدة-في-صلاة-سرية
Imechapishwa: 19/04/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-suurah-yenye-sujuud-katika-swalah-za-kusoma-kimyakimya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)