Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan ndani ya nyumba ambayo kuna mbwa?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni lazima mbwa atolewe nje na kutombakiza nyumbani. Isipokuwa ikiwa ni kutokana na sababu tatu:
1 – Mbwa wa mawindo.
2 – Mbwa kwa ajili ya kilimo.
3 – Mbwa ajili ya kukuelekeza njia.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye anayemiliki mbwa – isipokuwa mbwa wa uwindaji, kuelekeza njia au kilimo – basi kila siku inapungua kutoka katika ujira wake Qiraatw mbili.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (08/362)
- Imechapishwa: 25/06/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan ndani ya nyumba ambayo kuna mbwa?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni lazima mbwa atolewe nje na kutombakiza nyumbani. Isipokuwa ikiwa ni kutokana na sababu tatu:
1 – Mbwa wa mawindo.
2 – Mbwa kwa ajili ya kilimo.
3 – Mbwa ajili ya kukuelekeza njia.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye anayemiliki mbwa – isipokuwa mbwa wa uwindaji, kuelekeza njia au kilimo – basi kila siku inapungua kutoka katika ujira wake Qiraatw mbili.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (08/362)
Imechapishwa: 25/06/2021
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-ndani-ya-nyumba-kuliko-mbwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)