Swali: Mimi ni mmoja katika mabanati zako Uingereza. Baba yangu anataka kunilazimisha kusoma chuo kikuu mchanganyiko. Vinginevyo anasema kuwa ataniozesha kinyume na ridhaa yangu. Je, inajuzu kwangu kumuasi katika hilo…
Jibu: Kukuozesha ni jambo zuri. Kukuozesha ni jambo zuri. Amuozeshe, ailinde nafsi yake. Ni jambo zuri. Hili ni bora kwake kuliko kusoma.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 08/02/2017
Swali: Mimi ni mmoja katika mabanati zako Uingereza. Baba yangu anataka kunilazimisha kusoma chuo kikuu mchanganyiko. Vinginevyo anasema kuwa ataniozesha kinyume na ridhaa yangu. Je, inajuzu kwangu kumuasi katika hilo…
Jibu: Kukuozesha ni jambo zuri. Kukuozesha ni jambo zuri. Amuozeshe, ailinde nafsi yake. Ni jambo zuri. Hili ni bora kwake kuliko kusoma.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 08/02/2017
https://firqatunnajia.com/kusoma-katika-chuo-kikuu-mchanganyiko-au-kuozeshwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)