Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanafunzi kusoma Tawrat na Injiyl?
Jibu: Hapana. Asisome Tawrat na Injiyl isipokuwa mwanachuoni ambaye anataka kuipiga Radd na kubainisha yaliyomo. Ama kwa ajili ya kusoma tu, hili halijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimkasirikia ´Umar wakati alipomuona na makaratasi ya Tawrat. Alimkasirikia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (70) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13905
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanafunzi kusoma Tawrat na Injiyl?
Jibu: Hapana. Asisome Tawrat na Injiyl isipokuwa mwanachuoni ambaye anataka kuipiga Radd na kubainisha yaliyomo. Ama kwa ajili ya kusoma tu, hili halijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimkasirikia ´Umar wakati alipomuona na makaratasi ya Tawrat. Alimkasirikia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (70) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13905
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kusoma-biblia-au-tawrat-pasina-haja/