Swali: Je, kuna dalili juu ya kusoma tena al-Faatihah katika Rak´ah ya pili katika swalah ya kupatwa kwa jua?
Jibu: Kwa sababu ni Rak´ah. Rak´ah ya pili inazingatiwa kuwa ni yenye kujitegemea na hivyo mswaliji anasoma al-Faatihah. Anaposoma na akarukuu, kisha akainuka inakuwa ni kama Rak´ah ya pili. Kwa ajili hiyo mswaliji asome al-Faatihah na asome Suurah nyingine baada yake. Hivo ndivo wanavoona wanazuoni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23885/حكم-قراءة-الفاتحة-بعد-الركوع-الثاني-للكسوف
- Imechapishwa: 25/05/2024
Swali: Je, kuna dalili juu ya kusoma tena al-Faatihah katika Rak´ah ya pili katika swalah ya kupatwa kwa jua?
Jibu: Kwa sababu ni Rak´ah. Rak´ah ya pili inazingatiwa kuwa ni yenye kujitegemea na hivyo mswaliji anasoma al-Faatihah. Anaposoma na akarukuu, kisha akainuka inakuwa ni kama Rak´ah ya pili. Kwa ajili hiyo mswaliji asome al-Faatihah na asome Suurah nyingine baada yake. Hivo ndivo wanavoona wanazuoni.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23885/حكم-قراءة-الفاتحة-بعد-الركوع-الثاني-للكسوف
Imechapishwa: 25/05/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-al-faatihah-baada-ya-rukuu-ya-kwanza-ya-swalah-ya-kupatwa-kwa-jua/