Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza Anaashiyd zenye kuambatana na dufu zikiimbwa kwa sauti za wanaume?
Jibu: Hili halifai. Dufu inaruhusiwa kwa wanawake katika harusi, na pia kwa wasichana wadogo katika siku za ´Iyd. Hivo ndivo ilivyokuwa wajakazi wakiimba wakati wa ´Iyd katika zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). kuhusu wanaume, hilo halifai.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
- Imechapishwa: 16/09/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza Anaashiyd zenye kuambatana na dufu zikiimbwa kwa sauti za wanaume?
Jibu: Hili halifai. Dufu inaruhusiwa kwa wanawake katika harusi, na pia kwa wasichana wadogo katika siku za ´Iyd. Hivo ndivo ilivyokuwa wajakazi wakiimba wakati wa ´Iyd katika zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). kuhusu wanaume, hilo halifai.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
Imechapishwa: 16/09/2026
https://firqatunnajia.com/kusikiliza-anaashiyd-zinazoimbwa-na-wanaume/