83 – Abu ´Ubayd al-Qaasim bin Ismaa´iyl na wengine wametukhabarisha: Ibraahiym bin Mujashshir ametuhadithia: ´Abdullaah bin al-Mubaarak ametuhadithia, kutoka kwa al-Hajjaaj, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah aliyesema:
“Usiku huo Allaah husamehe dhambi isipokuwa za mshirikina au mwenye chuki.”[1]
Ibn-ul-Mubaarak amesimulia kutoka kwa al-Hajjaaj ambaye amemsikia al-Awzaa´iy akifasiri chuki kwa kusema:
“Ni kila mtu wa Bid´ah ambaye kafarikiana na Ummah wake kwa Bid´ah hiyo.”
[1] Ni kama cheni iliotangulia, al-Hajjaaj kutoka kwa Mak-huul. Hapa ameweka wazi kwamba kamsikia tu al-Awzaa´iy alifasiri chuki.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
- Imechapishwa: 09/05/2020
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
83 – Abu ´Ubayd al-Qaasim bin Ismaa´iyl na wengine wametukhabarisha: Ibraahiym bin Mujashshir ametuhadithia: ´Abdullaah bin al-Mubaarak ametuhadithia, kutoka kwa al-Hajjaaj, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah aliyesema:
“Usiku huo Allaah husamehe dhambi isipokuwa za mshirikina au mwenye chuki.”[1]
Ibn-ul-Mubaarak amesimulia kutoka kwa al-Hajjaaj ambaye amemsikia al-Awzaa´iy akifasiri chuki kwa kusema:
“Ni kila mtu wa Bid´ah ambaye kafarikiana na Ummah wake kwa Bid´ah hiyo.”
[1] Ni kama cheni iliotangulia, al-Hajjaaj kutoka kwa Mak-huul. Hapa ameweka wazi kwamba kamsikia tu al-Awzaa´iy alifasiri chuki.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
Imechapishwa: 09/05/2020
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-kathiyr-bin-murrah-al-hadhwramiy-02/