Kuhusu upokezi wa al-Hajjaaj bin Artwa’ah kutoka kwa Mak-huul, amesema:
82 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Nilimsikia Muhammad bin ´Abdil-Malik al-Waasitwiy akisema na al-Qaasim bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Abu ´Ubayd ametuhadithia: al-Hasan bin Yahyaa al-Jurjaaniy ametuhadithia: Yaziyd bin Haaruun ametuhadithia: al-Hajjaaj ametuhadithia, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah al-Hadhwramiy ambaye kaeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini usiku wa nusu Sha´baan na akawasemehe wa kuwasemehe isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”[1]
[1] al-Hajjaaj bin Artwa’ah alikuwa mdanganyifu. Anasimulia kutoka kwa Mak-huul pasi na kuweka wazi namna gani.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 158
- Imechapishwa: 09/05/2020
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
Kuhusu upokezi wa al-Hajjaaj bin Artwa’ah kutoka kwa Mak-huul, amesema:
82 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Nilimsikia Muhammad bin ´Abdil-Malik al-Waasitwiy akisema na al-Qaasim bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Abu ´Ubayd ametuhadithia: al-Hasan bin Yahyaa al-Jurjaaniy ametuhadithia: Yaziyd bin Haaruun ametuhadithia: al-Hajjaaj ametuhadithia, kutoka kwa Makh-uul, kutoka kwa Kathiyr bin Murrah al-Hadhwramiy ambaye kaeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini usiku wa nusu Sha´baan na akawasemehe wa kuwasemehe isipokuwa mshirikina au mwenye chuki.”[1]
[1] al-Hajjaaj bin Artwa’ah alikuwa mdanganyifu. Anasimulia kutoka kwa Mak-huul pasi na kuweka wazi namna gani.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 158
Imechapishwa: 09/05/2020
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-kathiyr-bin-murrah-al-hadhwramiy/