93 – Abu ´Ubaydillaah al-Qaasim bin Ismaa´iyl ametuhadithia: ´Abdullaah bin Abiy ´Abdillaah ash-Shaybaaniy ametuhadithia: Muhammad bin ´Ubaadah ametuhadithia: Haatim bin Ismaa´iyl ametuhadithia, kutoka kwa Mudhwar bin Kathiyr, kutoka kwa Yahyaa, kutoka kwa Sa´iyd, kutoka kwa ´Urwah, kutoka kwa ´Aaishah ambaye kasema:
“Usiku wa nusu Sha´baan Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoka kwenye blanketi yangu. Naapa kwa Allaah! Haikuwa ya hariri, misitarimisitari pamba wala.”Tukasema: “Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu! Ilikuwa ya nini?” Akasema: “Kitambara chake kilikuwa cha manyoya na kwa ndani yake kilikuwa cha manyoya ya ngamia. Nilihisi pengine amewaendea baadhi ya wakeze.”
Kisha akataja mfano wake.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 172
- Imechapishwa: 13/01/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket