70 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: al-´Abbaas bin Muhammad bin Haatim ametuhadithia: Mu´aadh bin Haani’ al-Yashkuriy ametuhadithia: Harb bin Shaddaad ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Kathiyr ametuhadithia: Hilaal bin Abiy Maymuunah amenihadithia: ´Atwaa’ bin Yasaar amenihadithia: Rifaa´ah bin ´Araabah al-Juhaniy amenihadithia:
“Siku moja tulikuwa nje pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)… Kisha akasema: “Kunapopita theluthi ya usiku, au nusu ya usiku, basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya chini na anasema mpaka kunaingia alfajiri: “Simuulizi yeyote juu ya waja Wangu zaidi yangu Mwenyewe. Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba nimpe?”
Pia Abaan bin Yaziyd al-´Attwaar ameipokea kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 146-148
- Imechapishwa: 29/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket