1- Abu Bakr (bin) ´Abdillaah bin Muhammad bin Ziyaad an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: Ya´quub bin Ibraahiym bin Sa´d ametuhadithia: Baba yangu ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Ishaaq: Ami yangu amenihadithia, kutoka kwa ´Ubaydullaah bin Abiy Raafiy´, mawla wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kutoka kwa baba yake, kutoka kwa ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Lau nisingelichelea kuwatia uzito Ummah wangu basi ningeliwaamrisha kutumia Siwaak wakati wa kila swalah na kuchelewesha ´Ishaa mpaka theluthi ya kwanza ya usiku. Pindi kunapopita theluthi ya usiku, basi Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia na hubaki huko mpaka alfajiri inaingia na anasema: “Hakuna mwenye kuuliza apewe? Hakuna mwenye kuomba ajibiwe? Hakuna mgonjwa aponywe? Hakuna mtenda dhambi mwenye kuomba msamaha asamehewe?”[1]
[1] al-Haythamiy amesema:
”Imepokelewa na at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw”. Katika mlolongo wa wapokezi kuna Ishaaq ambaye ni mwaminifu na mudallis. Hapa anasema wazi ni nani aliyemueleza. Hata hivyo mlolongo wa wapokezi ni mzuri.” (Majma´-uz-Zawaa-id (1/221))
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 89-90
- Imechapishwa: 05/12/2017
1- Abu Bakr (bin) ´Abdillaah bin Muhammad bin Ziyaad an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: Ya´quub bin Ibraahiym bin Sa´d ametuhadithia: Baba yangu ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Ishaaq: Ami yangu amenihadithia, kutoka kwa ´Ubaydullaah bin Abiy Raafiy´, mawla wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kutoka kwa baba yake, kutoka kwa ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Lau nisingelichelea kuwatia uzito Ummah wangu basi ningeliwaamrisha kutumia Siwaak wakati wa kila swalah na kuchelewesha ´Ishaa mpaka theluthi ya kwanza ya usiku. Pindi kunapopita theluthi ya usiku, basi Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia na hubaki huko mpaka alfajiri inaingia na anasema: “Hakuna mwenye kuuliza apewe? Hakuna mwenye kuomba ajibiwe? Hakuna mgonjwa aponywe? Hakuna mtenda dhambi mwenye kuomba msamaha asamehewe?”[1]
[1] al-Haythamiy amesema:
”Imepokelewa na at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw”. Katika mlolongo wa wapokezi kuna Ishaaq ambaye ni mwaminifu na mudallis. Hapa anasema wazi ni nani aliyemueleza. Hata hivyo mlolongo wa wapokezi ni mzuri.” (Majma´-uz-Zawaa-id (1/221))
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 89-90
Imechapishwa: 05/12/2017
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-aliy-bin-abiy-twaalib-1/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)