62 – al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: ´Abdul-´Alaa bin Waaswil na ´Aliy bin Muslim ametuhadithia …:
Pia Muhammad bin al-Jund Yasaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Yahyaa bin Sa´iyd ametuhadithia …:
Pia Abu Bakr an-Naysaabuuriy na wengineo wametuhadithia: al-´Abbaas bin Muhammad bin Haatim ametuhadithia: Muhaadhwir bin al-Muawarri´ ametuhadithia: al-A´mash ametuhadithia, kutoka kwa Abu Swaalih aliyetaja kutoka kwa Abu Sa´iyd au Abu Hurayrah…:
Pia Abu Ishaaq naa Habiyb bin Abiy Thaabit wamepokea kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hutoa muhula mpaka kunapopita nusu ya kwanza ya usiku kisha anashuka katika mbingu ya dunia ya chini na anasema: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe? Je, kuna mwenye kuuliza nimpe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”[1]
[1] Ibn Abiy ´Aaswim (1/500-501). Cheni ya wapokezi ni nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 137-138
- Imechapishwa: 28/04/2020
62 – al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: ´Abdul-´Alaa bin Waaswil na ´Aliy bin Muslim ametuhadithia …:
Pia Muhammad bin al-Jund Yasaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Yahyaa bin Sa´iyd ametuhadithia …:
Pia Abu Bakr an-Naysaabuuriy na wengineo wametuhadithia: al-´Abbaas bin Muhammad bin Haatim ametuhadithia: Muhaadhwir bin al-Muawarri´ ametuhadithia: al-A´mash ametuhadithia, kutoka kwa Abu Swaalih aliyetaja kutoka kwa Abu Sa´iyd au Abu Hurayrah…:
Pia Abu Ishaaq naa Habiyb bin Abiy Thaabit wamepokea kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hutoa muhula mpaka kunapopita nusu ya kwanza ya usiku kisha anashuka katika mbingu ya dunia ya chini na anasema: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe? Je, kuna mwenye kuuliza nimpe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”[1]
[1] Ibn Abiy ´Aaswim (1/500-501). Cheni ya wapokezi ni nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 137-138
Imechapishwa: 28/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-11/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket