40 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Yuusuf as-Sulamiy ametuhadithia: Hajjaaj ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa ´Ubaydullaah bin ´Umar, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd al-Maqbariy, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allâhu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kunapopita theluthi ya usiku au nusu yake basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya dunia na kusema: ”Je, kuna mwenye kuomba nimpe? Je, kuna mwenye kuomba nimpe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 124
- Imechapishwa: 21/01/2020
40 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Yuusuf as-Sulamiy ametuhadithia: Hajjaaj ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa ´Ubaydullaah bin ´Umar, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd al-Maqbariy, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allâhu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kunapopita theluthi ya usiku au nusu yake basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya dunia na kusema: ”Je, kuna mwenye kuomba nimpe? Je, kuna mwenye kuomba nimpe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 124
Imechapishwa: 21/01/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-28/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)