31- Abu Muhammad bin Swaa´id alisomewa na mimi nasikiliza: Muhammad bin ´Aliy bin Zanjuuyah amekuhadithieni: ´Aliy bin Muhammad al-Baswriy alisomewa huku nikisikiliza: Haashim bin Yuunus amekuhadithieni: Abu Swaalih ´Abdullaah bin Swaalih ametuhadithia: al-Layth bin Sa´d amenihadithia, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa Ibn Shihaab: Abu Salamah na Abu ´Abdillaah al-Agharr amenikhabarisha kwamba wamemsikia Abu Hurayrah akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mola wetu (´Azza wa Jall) hushuka pindi kunapobaki theluthi ya mwisho ya usiku katika mbingu ya dunia na husema: “Ni nani mwenye kuniomba nimpe? Ni nani mwenye kuniomba msamaha?”
Shu´ayb bin Abiy Hamzah vilevile ameipokea kupitia kwa az-Zuhriy.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 115
- Imechapishwa: 15/01/2020
31- Abu Muhammad bin Swaa´id alisomewa na mimi nasikiliza: Muhammad bin ´Aliy bin Zanjuuyah amekuhadithieni: ´Aliy bin Muhammad al-Baswriy alisomewa huku nikisikiliza: Haashim bin Yuunus amekuhadithieni: Abu Swaalih ´Abdullaah bin Swaalih ametuhadithia: al-Layth bin Sa´d amenihadithia, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa Ibn Shihaab: Abu Salamah na Abu ´Abdillaah al-Agharr amenikhabarisha kwamba wamemsikia Abu Hurayrah akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mola wetu (´Azza wa Jall) hushuka pindi kunapobaki theluthi ya mwisho ya usiku katika mbingu ya dunia na husema: “Ni nani mwenye kuniomba nimpe? Ni nani mwenye kuniomba msamaha?”
Shu´ayb bin Abiy Hamzah vilevile ameipokea kupitia kwa az-Zuhriy.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 115
Imechapishwa: 15/01/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-19/