Swali: Inajuzu kwa mtu kushika Qur-aan na kuipeana na kuipokea kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Anaweza kufanya hivo ikiwa kama hawezi kuichukua kwa mkono wake wa kuume. Vinginevyo aichukue kwa mkono wa kulia kwa kukiheshimu Kitabu cha Allaah (´Azza wa Jall). Mkono wa kulia unatumiwa juu ya vitu vizuri na mkono wa kushoto unatumiwa juu ya kusafisha na mfano wa hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Inajuzu kwa mtu kushika Qur-aan na kuipeana na kuipokea kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Anaweza kufanya hivo ikiwa kama hawezi kuichukua kwa mkono wake wa kuume. Vinginevyo aichukue kwa mkono wa kulia kwa kukiheshimu Kitabu cha Allaah (´Azza wa Jall). Mkono wa kulia unatumiwa juu ya vitu vizuri na mkono wa kushoto unatumiwa juu ya kusafisha na mfano wa hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kushika-qur-aan-kwa-mkono-wa-kushoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)