Swali: Baadhi ya watu wanachukulia sahali kwa neno: “Ni Haramu juu yangu”, au “Ni juu yangu Talaka”. Ni ipi hukumu ya maneno haya?
Jibu: Kwa kiasi atakavyokuwa amekusudia. Akisema: “Ni Haramu juu yangu” na akamkusudia mke wake, inakuwa ni Talaka. Kwa kuwa Talaka ni kuharamisha pia. Na ikiwa amekusudia yamini, inakuwa ni yamini. Na ikiwa amekusudia Talaka, inakuwa ni Talaka. Kwa kuwa ni katika Talaka ya kinaya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/3269
- Imechapishwa: 02/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)