Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema ya kwamba Aayah za Qur-aan ni kama muziki na nyimbo?
Jibu: Sidhani kama kuna ambaye anasema hivi. Lakini kuko ambao wanasema Aayah za Qur-aan zina sauti ya aina ya muziki, wakiwa na maana ya kwamba maneno ya Qur-aan ni yenye ladha masikio yanaburudika nazo. Wanakusudia kusema hivi. Lakini wamekosea kwenye taabiri. Lau wasingelitumia taabiri kama hii ingelikuwa ni bora zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema ya kwamba Aayah za Qur-aan ni kama muziki na nyimbo?
Jibu: Sidhani kama kuna ambaye anasema hivi. Lakini kuko ambao wanasema Aayah za Qur-aan zina sauti ya aina ya muziki, wakiwa na maana ya kwamba maneno ya Qur-aan ni yenye ladha masikio yanaburudika nazo. Wanakusudia kusema hivi. Lakini wamekosea kwenye taabiri. Lau wasingelitumia taabiri kama hii ingelikuwa ni bora zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/kusema-kuwa-aayah-za-qur-aan-ni-kama-nyimbo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket