Swali: Mtu aliyehifadhi sehemu katika Qur-aan kisha akasahau anapata dhambi kwa hilo?
Jibu: Hapati dhambi kwa hilo, lakini hii ni neema iliyomwondoka kwa sababu ya kuzembea. Ni juu yako kufanya bidii kuirudilia Qur-aan na kuihifadhi ili neema hii iweze kumrudilia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Swali: Mtu aliyehifadhi sehemu katika Qur-aan kisha akasahau anapata dhambi kwa hilo?
Jibu: Hapati dhambi kwa hilo, lakini hii ni neema iliyomwondoka kwa sababu ya kuzembea. Ni juu yako kufanya bidii kuirudilia Qur-aan na kuihifadhi ili neema hii iweze kumrudilia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 12/01/2018
https://firqatunnajia.com/kusahau-qur-aan-aliyokuwa-mtu-amehifadhi/