Swali: Ni ipi hukumu ya kusafiri kwa nia ya kumuoa mwanamke kisha baadaye kumtaliki?
Jibu: Kikosi cha wanazuoni wengi wanaona kuwa hapana vibaya. Lakini bora na tahadhari zaidi ni kuacha kufanya hivo kwa ajili ya kutoka nje ya makinzano ya wale walioharamisha hilo[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/kuoa-kwa-nia-ya-talaka-ni-kumhadaa-mwanamke
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/حكم-السفر-من-اجل-الزواج-بنية-الطلاق
- Imechapishwa: 19/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)