274 – Nilimuuliza kwa nini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumuamrisha yule aliyeswali vibaya katika swalah yake kurudia swalah zilizopita?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimpa udhuru kwa sababu ya ujinga wake.
275 – Vipi ikiwa hivi sasa tutaona hali kama hiyo?
Jibu: Mtu kama yeye anapewa udhuru. Dhahiri ya Hadiyth inaonesha kuwa hakuamrishwa kurudia swalah zilizopita.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 100
- Imechapishwa: 16/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
274 – Nilimuuliza kwa nini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumuamrisha yule aliyeswali vibaya katika swalah yake kurudia swalah zilizopita?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimpa udhuru kwa sababu ya ujinga wake.
275 – Vipi ikiwa hivi sasa tutaona hali kama hiyo?
Jibu: Mtu kama yeye anapewa udhuru. Dhahiri ya Hadiyth inaonesha kuwa hakuamrishwa kurudia swalah zilizopita.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 100
Imechapishwa: 16/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kurudia-swalah-alizokuwa-mtu-anaswali-makosa/