Kurefusha nywele ni katika mambo ya kiada na mubaha, kwa sharti asizifanye zikawa zinafanana na makafiri. Akafanya kichwa chake kama wanavyofanya makafiri. Ama kuzirefusha mpaka mabegani, kama jinsi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyokuwa akifanya au zaidi ya hapo, hakuna ubaya. Lakini asizifanye kwa sifa ambayo zinafanana na makafiri. Kuna tanbihi. Ikishakuwa kuzirefusha nywele kunachukuliwa kama shuhrah na kuwafanya watu wakapata dhana mbaya kwako, kwa kuwa hivi leo imekuwa wale wanaorefusha nywele – kama mnavyojua – huenda akatuhumiwa. Ewe ndugu! Usijijaalie katika nafsi yako tuhuma. Nyoa kama watu wengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=mhoMcfH6Nlw
- Imechapishwa: 29/12/2017
Kurefusha nywele ni katika mambo ya kiada na mubaha, kwa sharti asizifanye zikawa zinafanana na makafiri. Akafanya kichwa chake kama wanavyofanya makafiri. Ama kuzirefusha mpaka mabegani, kama jinsi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyokuwa akifanya au zaidi ya hapo, hakuna ubaya. Lakini asizifanye kwa sifa ambayo zinafanana na makafiri. Kuna tanbihi. Ikishakuwa kuzirefusha nywele kunachukuliwa kama shuhrah na kuwafanya watu wakapata dhana mbaya kwako, kwa kuwa hivi leo imekuwa wale wanaorefusha nywele – kama mnavyojua – huenda akatuhumiwa. Ewe ndugu! Usijijaalie katika nafsi yako tuhuma. Nyoa kama watu wengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=mhoMcfH6Nlw
Imechapishwa: 29/12/2017
https://firqatunnajia.com/kurefusha-nywele-kwa-mwanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)