Swali: Je, inafaa kuzipunguza ndevu…
Jibu: Ndevu sio nzito. Kwa hivyo hazihitajii kupunguzwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuziacha, kuzirefusha, kuzifuga na kuzikirimu. Sio nzito mpaka eti uzipunguze uzito. Hatujaona mtu ambaye alilemewa au kuanguka kwa sababu ya ndevu zake. Hatujapatapo kuona kitu hicho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 02/05/2021
Swali: Je, inafaa kuzipunguza ndevu…
Jibu: Ndevu sio nzito. Kwa hivyo hazihitajii kupunguzwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuziacha, kuzirefusha, kuzifuga na kuzikirimu. Sio nzito mpaka eti uzipunguze uzito. Hatujaona mtu ambaye alilemewa au kuanguka kwa sababu ya ndevu zake. Hatujapatapo kuona kitu hicho.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 02/05/2021
https://firqatunnajia.com/kupunguza-uzito-ndevu/