Swali: Nina mke ambaye ana mimba ya mwezi mmoja ambaye hanipendezi. Nimenuia kumtaliki. Je, inafaa kwetu kuporomosha mimba hii kwa sababu hatutaki kuendelea kuishi pamoja?
Jibu: Haijuzu kwenu kufanya hivo. Huenda mtoto huyu Allaah akawanufaisha kupitia yeye. Msiiporomoshe. Bali ni neema kutoka kwa Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
- Imechapishwa: 26/05/2019
Swali: Nina mke ambaye ana mimba ya mwezi mmoja ambaye hanipendezi. Nimenuia kumtaliki. Je, inafaa kwetu kuporomosha mimba hii kwa sababu hatutaki kuendelea kuishi pamoja?
Jibu: Haijuzu kwenu kufanya hivo. Huenda mtoto huyu Allaah akawanufaisha kupitia yeye. Msiiporomoshe. Bali ni neema kutoka kwa Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
Imechapishwa: 26/05/2019
https://firqatunnajia.com/kuporomosha-mimba-ya-mwezi-mmoja-baada-ya-kuamua-kuachana/