Swali: Mwenye kusema mayahudi na manaswara wa leo sio Ahl-ul-Kitaab kama walivyokuwa katika zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kujengea juu ya hilo haijuzu kuoa kutoka kwao. Je, maoni yake ni sahihi?
Jibu: Haya ni maneno batili. Allaah kawaita kuwa ni Ahl-ul-Kitaab na akahalalisha kuoa wanawake wao ambao ni watwaharifu na zinaa, bi maana Muhswanaat:
وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ
“… [pia mmehalalishiwa kuwaoa] muhswanaatu miongoni mwa wale waliopewa Kitabu kabla yenu.” (05:05)
Muhswanaat ni wepi? Ni wale waliotakasika na zinaa, ni mamoja ikiwa ni zinaa ya hadharani au ya kujificha:
غَيْرَ مُسَافِحِينَ وَلَا مُتَّخِذِي أَخْدَانٍ
”… bila ya kufanya uhasharati wala kuchukua hawara.” (05:05)
Inajuzu kuoa kwao. Allaah Amehalalisha hili mpaka siku ya Qiyaamah. Wewe unampinga Allaah na kusema “Hapana, wao sio Ahl-ul-Kitaab”? Ni nani anayesema hivi? Tangu wakati Qur-aan ilipokuwa inateremka walikuwa wanasema Allaah ni utatu na al-Masiyh ni mwana wa Allaah, pamoja na haya Allaah amewaita kuwa ni Ahl-ul-Kitaab.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-17051435.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Mwenye kusema mayahudi na manaswara wa leo sio Ahl-ul-Kitaab kama walivyokuwa katika zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kujengea juu ya hilo haijuzu kuoa kutoka kwao. Je, maoni yake ni sahihi?
Jibu: Haya ni maneno batili. Allaah kawaita kuwa ni Ahl-ul-Kitaab na akahalalisha kuoa wanawake wao ambao ni watwaharifu na zinaa, bi maana Muhswanaat:
وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ
“… [pia mmehalalishiwa kuwaoa] muhswanaatu miongoni mwa wale waliopewa Kitabu kabla yenu.” (05:05)
Muhswanaat ni wepi? Ni wale waliotakasika na zinaa, ni mamoja ikiwa ni zinaa ya hadharani au ya kujificha:
غَيْرَ مُسَافِحِينَ وَلَا مُتَّخِذِي أَخْدَانٍ
”… bila ya kufanya uhasharati wala kuchukua hawara.” (05:05)
Inajuzu kuoa kwao. Allaah Amehalalisha hili mpaka siku ya Qiyaamah. Wewe unampinga Allaah na kusema “Hapana, wao sio Ahl-ul-Kitaab”? Ni nani anayesema hivi? Tangu wakati Qur-aan ilipokuwa inateremka walikuwa wanasema Allaah ni utatu na al-Masiyh ni mwana wa Allaah, pamoja na haya Allaah amewaita kuwa ni Ahl-ul-Kitaab.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fth-mjd-17051435.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kupinga-kuwa-mayahudi-na-manaswara-wa-leo-sio-ahl-ul-kitaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)