Swali: Makatazo ya kupigana katika miezi mitukufu bado ni yenye kuendelea?
Jibu: Kupigana katika miezi mitukufu ni jambo lina tofauti kwa wanachuoni. Kuna wanachuoni waliosema kwamba bado yanaendelea. Hata hivyo wanachuoni wengi wanasema kuwa imefutwa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 01/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)