Swali: Makatazo ya kupigana katika miezi mitukufu bado ni yenye kuendelea?
Jibu: Kupigana katika miezi mitukufu ni jambo lina tofauti kwa wanachuoni. Kuna wanachuoni waliosema kwamba bado yanaendelea. Hata hivyo wanachuoni wengi wanasema kuwa imefutwa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 01/03/2018
Swali: Makatazo ya kupigana katika miezi mitukufu bado ni yenye kuendelea?
Jibu: Kupigana katika miezi mitukufu ni jambo lina tofauti kwa wanachuoni. Kuna wanachuoni waliosema kwamba bado yanaendelea. Hata hivyo wanachuoni wengi wanasema kuwa imefutwa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
Imechapishwa: 01/03/2018
https://firqatunnajia.com/kupigana-katika-miezi-mitukufu/