Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si vinginevyo jambo la kupiga mokofi ni kwa wanawake.”
ni Hadiyth? Ni upi usahihi wake?
Jibu: Hadiyth hii imethibiti katika al-Bukhaariy na ndani yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mna nini nyinyi pindi mnapozindua jambo mnapiga makofi? Si vinginevyo jambo la kupiga mokofi ni kwa wanawake.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
- Imechapishwa: 16/03/2019
Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Si vinginevyo jambo la kupiga mokofi ni kwa wanawake.”
ni Hadiyth? Ni upi usahihi wake?
Jibu: Hadiyth hii imethibiti katika al-Bukhaariy na ndani yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mna nini nyinyi pindi mnapozindua jambo mnapiga makofi? Si vinginevyo jambo la kupiga mokofi ni kwa wanawake.”
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
Imechapishwa: 16/03/2019
https://firqatunnajia.com/kupiga-makofi-ni-kazi-ya-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)