Swali: Ikiwa kuna ndugu wa upande wa baba ambaye ana dada wa kunyonya – Je, inajuzu kwangu kumsalimia kwa kushikana mikono?
Jibu: Ikiwa dada huyo wa kunyonya alinyonyeshwa na mke wa baba yako, basi huyo ni dada yako na ni dada yake yeye pia. Hivyo anakuwa ni dada kwako kupitia baba kwa upande wa kunyonya na inahesabika kama undugu wa kuchangia ziwa. Ama ikiwa ndugu yako wa upande wa baba alinyonyeshwa na mwanamke mwingine, asiye mke wa baba yako, basi mwanamke huyo anakuwa ni mama yake wa kunyonya peke yake, wala si mama yako.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1804/حكم-مصافحة-اخت-الاخ-من-الاب-من-الرضاعة
- Imechapishwa: 27/12/2025
Swali: Ikiwa kuna ndugu wa upande wa baba ambaye ana dada wa kunyonya – Je, inajuzu kwangu kumsalimia kwa kushikana mikono?
Jibu: Ikiwa dada huyo wa kunyonya alinyonyeshwa na mke wa baba yako, basi huyo ni dada yako na ni dada yake yeye pia. Hivyo anakuwa ni dada kwako kupitia baba kwa upande wa kunyonya na inahesabika kama undugu wa kuchangia ziwa. Ama ikiwa ndugu yako wa upande wa baba alinyonyeshwa na mwanamke mwingine, asiye mke wa baba yako, basi mwanamke huyo anakuwa ni mama yake wa kunyonya peke yake, wala si mama yako.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1804/حكم-مصافحة-اخت-الاخ-من-الاب-من-الرضاعة
Imechapishwa: 27/12/2025
https://firqatunnajia.com/kupeana-mikono-na-dada-yake-ndugu-yangu-upande-wa-baba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket