Swali: Nikiwa na kafara ya yamini na nimepata tu masikini watano. Je, niwalishe siku mbali mbali?
Jibu: Hapana. Ukiwalisha hao utabakiwa na watano wengine. Watabaki katika dhimma yako mpaka wakati utapowapata.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13888
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Nikiwa na kafara ya yamini na nimepata tu masikini watano. Je, niwalishe siku mbali mbali?
Jibu: Hapana. Ukiwalisha hao utabakiwa na watano wengine. Watabaki katika dhimma yako mpaka wakati utapowapata.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13888
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kupata-masikini-watano-tu-katika-kafara-ya-yamini/