156- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye anapangusa juu ya makubadhi yake. Akalichukia hilo na akasema:
“Hapana.”
157- Nilimuuliza baba yangu kuhusu kufuta juu ya makubadhi. Akasema:
“Ikiwa miguuni mwake mna soksi alizozivaa, basi hakuna neno kupangusa juu ya makubadhi.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/122-123)
- Imechapishwa: 07/02/2020
156- Nilimuuliza baba yangu kuhusu mtu ambaye anapangusa juu ya makubadhi yake. Akalichukia hilo na akasema:
“Hapana.”
157- Nilimuuliza baba yangu kuhusu kufuta juu ya makubadhi. Akasema:
“Ikiwa miguuni mwake mna soksi alizozivaa, basi hakuna neno kupangusa juu ya makubadhi.”
Muhusika: Imaam ´Abdullâh bin Ahmad bin Hanbal (kfk. 290)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/122-123)
Imechapishwa: 07/02/2020
https://firqatunnajia.com/kupangusa-juu-ya-makubadhi/