Swali: Sisi ni kikosi cha vijana wenye dini ambao tunafunga kila alkhamisi na tunafuturu nyumbani kwa mmoja kati yetu. Unasemaje juu ya jambo hilo?
Jibu: Ikiwa katika kufanya hivo hakuna kumlazimisha yeyote, basi mtu anaweza kusema kuwa kitendo hicho hakina neno. Lakini mimi napendelea kila mmoja afunge kivyake na afuturu kivyake, afunge pale anapotaka na aache kufunga pale anapotaka. Hii ndio Sunnah.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 259
- Imechapishwa: 20/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket