Swali: Vipi ikiwa walii wa mwanamke ni mtenda maasi?
Jibu: Haijalishi kitu. Sahihi ni kwamba atamuozesha ijapokuwa sio mwadilifu. Mwanamke asijiozeshe mwenyewe. Hata hivyo akipatikana walii mwadilifu basi yeye ana haki zaidi kuliko mwingine. Sahihi ni kwamba hakushurutishwi uadilifu katika uwalii, kwa sababu ghera ipo. Kwa hivyo aozeshwe na walii wake; baba yake au jamaa wa karibu zaidi na zaidi. Haijalishi kitu ikiwa atakuwa na mapungufu katika uadilifu. Asijiozeshe mwenyewe.
Swali: Vipi ikiwa Bid´ah zake ni za kishirki?
Jibu: Hapana, kafiri hana uwalii wowote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23834/هل-تزوج-نفسها-من-كان-وليها-عاصيا
- Imechapishwa: 08/05/2024
Swali: Vipi ikiwa walii wa mwanamke ni mtenda maasi?
Jibu: Haijalishi kitu. Sahihi ni kwamba atamuozesha ijapokuwa sio mwadilifu. Mwanamke asijiozeshe mwenyewe. Hata hivyo akipatikana walii mwadilifu basi yeye ana haki zaidi kuliko mwingine. Sahihi ni kwamba hakushurutishwi uadilifu katika uwalii, kwa sababu ghera ipo. Kwa hivyo aozeshwe na walii wake; baba yake au jamaa wa karibu zaidi na zaidi. Haijalishi kitu ikiwa atakuwa na mapungufu katika uadilifu. Asijiozeshe mwenyewe.
Swali: Vipi ikiwa Bid´ah zake ni za kishirki?
Jibu: Hapana, kafiri hana uwalii wowote.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23834/هل-تزوج-نفسها-من-كان-وليها-عاصيا
Imechapishwa: 08/05/2024
https://firqatunnajia.com/kuozeshwa-na-walii-mtenda-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
