Swali: Inafaa kunyunyizia maji ya zamzam yaliyosomewa kwenye tupu ya nyuma ya mtoto kwa sababu ya ugonjwa alionao?
Jibu: Mtu ayasomee maji ya zamzam au maji mengine na ayafutie pale pahali anapohisi maumivu. Sehemu yoyote mwilini. Lakini tupu ya mbele na ya nyuma zinatakiwa kusafishwa kwanza kutokamana na athari ya mkojo au kinyesi kisha ndio afute kwa maji haya.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (69) http://binothaimeen.net/content/1557
- Imechapishwa: 27/02/2020
Swali: Inafaa kunyunyizia maji ya zamzam yaliyosomewa kwenye tupu ya nyuma ya mtoto kwa sababu ya ugonjwa alionao?
Jibu: Mtu ayasomee maji ya zamzam au maji mengine na ayafutie pale pahali anapohisi maumivu. Sehemu yoyote mwilini. Lakini tupu ya mbele na ya nyuma zinatakiwa kusafishwa kwanza kutokamana na athari ya mkojo au kinyesi kisha ndio afute kwa maji haya.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (69) http://binothaimeen.net/content/1557
Imechapishwa: 27/02/2020
https://firqatunnajia.com/kuosha-tupu-kwa-maji-ya-zamzam-yaliyosomewa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)