Swali: Baadhi ya watu wanaposhakia au wakijua kuwa mtoto wake amesibiwa na hasadi au kijicho wanaosha milango ya nyumba au mwanzo wa nyumba. Ni jambo ambalo limenitia mashaka. Kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Mambo yote haya ni batili na wala hayajuzu. Mambo haya ni batili na wala hayana asli. Lililowekwa ni kuwa, akijua ya kwamba aliemsibu kwa kijicho ni fulani au akifiria kuwa ni yeye, atamwambia aoge, aoshe uso wake na mikono yake na ampe, Allaah Atamnufaisha kwa hilo. Ama kuosha chini na nyumba, yote haya hayana asli.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 20/11/2014
Swali: Baadhi ya watu wanaposhakia au wakijua kuwa mtoto wake amesibiwa na hasadi au kijicho wanaosha milango ya nyumba au mwanzo wa nyumba. Ni jambo ambalo limenitia mashaka. Kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Mambo yote haya ni batili na wala hayajuzu. Mambo haya ni batili na wala hayana asli. Lililowekwa ni kuwa, akijua ya kwamba aliemsibu kwa kijicho ni fulani au akifiria kuwa ni yeye, atamwambia aoge, aoshe uso wake na mikono yake na ampe, Allaah Atamnufaisha kwa hilo. Ama kuosha chini na nyumba, yote haya hayana asli.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 20/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuosha-nyumba-kwa-mtoto-kupatwa-na-kijicho-au-hasadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)