Swali: Mimi ni mwanamume natokwa na madhiy mara kwa mara. Nikitokwa na madhiy kisha nikaosha dhakari yangu nioshe nguo zangu kwa sababu kitendo hicho kinakuwa kigumu kwangu?
Jibu: Ndio, ni lazima uoshe. Kwa sababu madhiy ni najisi. Lakini najisi yake ni nyepesi. Kwa hivyo inatosha kunyunyizia maji. Madhiy najisi yake ni khafifu. Lakini ni lazima uoshe dhakari yako na uke wako. Kutokana na maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Osha dhakari yako na uke wako.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/85/%D9%8A%D9%83%D9%81%D9%8A-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B0%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%B6%D8%AD-%D9%84%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%BA%D8%B3%D9%84
- Imechapishwa: 04/01/2020
Swali: Mimi ni mwanamume natokwa na madhiy mara kwa mara. Nikitokwa na madhiy kisha nikaosha dhakari yangu nioshe nguo zangu kwa sababu kitendo hicho kinakuwa kigumu kwangu?
Jibu: Ndio, ni lazima uoshe. Kwa sababu madhiy ni najisi. Lakini najisi yake ni nyepesi. Kwa hivyo inatosha kunyunyizia maji. Madhiy najisi yake ni khafifu. Lakini ni lazima uoshe dhakari yako na uke wako. Kutokana na maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Osha dhakari yako na uke wako.”
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/85/%D9%8A%D9%83%D9%81%D9%8A-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B0%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%B6%D8%AD-%D9%84%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%BA%D8%B3%D9%84
Imechapishwa: 04/01/2020
https://firqatunnajia.com/kuosha-nguo-na-mahali-palipopatwa-na-madhiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)