Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nyoyo za waja ziko kati ya vidole viwili katika vidole vya Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall).”
Je, kuna tatizo kuashiria vidole wakati wa kutaja Hadiyth hii?
Jibu: Hakuna neno. Lengo ni kufanya maana iweze kufahamika. Hakufanywi hivo kwa sababu ya kufananisha vidole vya viumbe na vidole vya Muumba. Lengo ni kufanya maana iweze kufahamika na kwamba ni vidole vya kihakika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nyoyo za waja ziko kati ya vidole viwili katika vidole vya Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall).”
Je, kuna tatizo kuashiria vidole wakati wa kutaja Hadiyth hii?
Jibu: Hakuna neno. Lengo ni kufanya maana iweze kufahamika. Hakufanywi hivo kwa sababu ya kufananisha vidole vya viumbe na vidole vya Muumba. Lengo ni kufanya maana iweze kufahamika na kwamba ni vidole vya kihakika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/kuonyesha-vidole-wakati-wa-kutaja-vidole-vya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)