Swali: Mtu anazingatiwa kuwa anadhihirisha dini katika nchi ya makafiri akajitenga mbali na dini ya makafiri na kuwaonyesha waziwazi uadui?
Jibu: Ni vipi utadhihirisha uadui kwao ilihali umefunga mkataba wa amani pamoja nao? Usiwaonyeshe wazi uadui; waonyeshe amani kutokana na mkataba.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 16/03/2019
Swali: Mtu anazingatiwa kuwa anadhihirisha dini katika nchi ya makafiri akajitenga mbali na dini ya makafiri na kuwaonyesha waziwazi uadui?
Jibu: Ni vipi utadhihirisha uadui kwao ilihali umefunga mkataba wa amani pamoja nao? Usiwaonyeshe wazi uadui; waonyeshe amani kutokana na mkataba.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
Imechapishwa: 16/03/2019
https://firqatunnajia.com/kuonyesha-uadui-katika-nchi-za-makafiri/