Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuzungumza na rafiki yake ikiwa pembezoni mwao kuna ambaye anasoma Qur-aan kwa sauti ya kusikika?
Jibu: Ikiwa wanashawishana… Msomaji asipaze sauti yake na kumshawishi aliye pembezoni mwake na kadhalika wenye kuzungumza wasipaze sauti zao na kuwashawishi wenye kuswali, wenye kusoma Qur-aan na wenye kufanya Dhikr walio pembezoni mwao.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuzungumza na rafiki yake ikiwa pembezoni mwao kuna ambaye anasoma Qur-aan kwa sauti ya kusikika?
Jibu: Ikiwa wanashawishana… Msomaji asipaze sauti yake na kumshawishi aliye pembezoni mwake na kadhalika wenye kuzungumza wasipaze sauti zao na kuwashawishi wenye kuswali, wenye kusoma Qur-aan na wenye kufanya Dhikr walio pembezoni mwao.
Tarjama: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/kuongea-sehemu-ambayo-watu-wanasoma-qur-aan/