Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza kwa simu wakati wa kufanya Twawaaf?
Jibu: Hakuna neno:
“Kufanya Twawaaf kwenye nyumba ni kama swalah mbali na kwamba mnazungumza ndani yake.”[1]
Inafaa kuzungumza ndani yake, lakini mtu asikithirishe maneno pasi na haja.
[1] Ibn Hibbaan (3836).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
- Imechapishwa: 27/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza kwa simu wakati wa kufanya Twawaaf?
Jibu: Hakuna neno:
“Kufanya Twawaaf kwenye nyumba ni kama swalah mbali na kwamba mnazungumza ndani yake.”[1]
Inafaa kuzungumza ndani yake, lakini mtu asikithirishe maneno pasi na haja.
[1] Ibn Hibbaan (3836).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
Imechapishwa: 27/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuongea-kwa-simu-wakati-wa-twawaaf/